Serikali , mashirika au makampuni hayafanyi kazi na mtu binafsi Bali Kampuni. Unaweza kuwa unaweza kufanya usafi lakini mwenzako mwenye kampuni ya kufanya usafi ndio akawa anapata tenda za kufanya usafi kwenye hayo maeneo.
Kwahyo faida kubwa ya kampuni ni wewe kuwa katika wigo mpana wa kufanya kazi zenye hela kubwa.
Kuhusu kufungua kampuni ingia Brela usajili kila kitu kipo mrandaoni. Kuhusu mtaji wa kampuni ni uwezo wako tu hata 200,000.
Kwa Tanzania ili kampuni iwe kampuni inabidi uwe na vifuatavyo
1. Incorporation Certificate ( Brela )
2. company TIN number Certificate
3. VAT certificate
4. Bussiness license ya Kitu unachotaka kufanya ( Kufanya usafi , Kuuza bidhaa n.k )....
5. EFD mashine ...
6. BANK ACCOUNT
Ukiwa na haya mavitu hii ndio kampuni. Mambo mengine ni kujuana mbele kwa mbele ...
NB : Issue sio kuwa na kampuni , issue uwe na sababu kwanini unakuwa na kampun. Naomba usome hii point utaelewa namaanisha nini. Maana Kama hujui unachofanya utabaki kukimbizana na TRA kwenye kulipa income TAX wakati biashara hazieleweki.
0 Comments :
Post a Comment